Tuesday, July 3, 2012



mmoja wa vijana waliokuwa wakilalamikia vikali zoezi hilo la uchaguzi akiongea na waandishi wa habari kuelezea masikitiko yake kuhusiana na hali hiyo ya upendeleo katika uchaguzi huo uliovunjika.


Akikongwa ili asidhuriwe kijana ambae jina lake halikufahamika mara moja akizuiwa na mwenzie ili asiendelee kurushiwa viti alivyokuwa anarushiwa na vijana wenzake kutokana na kutofautiana nao katika masuala ya uchaguzi huo.


Mmoja wa vijana aliekuwa akilalamikia zoezihilo la uchaguzi kugubikwa na dalili za rushwa hivyo wao kuamua zoezi hilo lisitishwe japo hawakusikilizwa nakuanza kututpiana viti.

0 comments:

Post a Comment