Wednesday, November 14, 2012

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Dodoma, Sekretarieti ya Uongozi wa CCM Taifa ni kama ifuatavyo:

- Katibu Mkuu ni Abdulrahman Kinana.


- Naibu Katibu Mkuu  Tanzania Bara ni Mwigulu Nchemba (Mb).

- Naibu Katibu Mkuu Zanzibar ni Vuai Alli Vuai.

- Katibu  wa Itikadi na Uenezi  ni Nape Nnauye.

- Uchumi na Fedha ni bi.  Zakhia H. Meghji.

- Katibu wa Oganaizesheni ni Mohammed Seif Khatib.

- Uhusiano wa Kimataifa ni Dkt. Asha-Rose Migiro.


0 comments:

Post a Comment