Zifuatazo
ni picha kutoka IKULU za Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika shamrashamra
za kulizindua rasmi jiji la Arusha siku ya Alhamisi, Novemba Mosi, 2012
ambapo maelfu ya wakaazi wa jiji hilo walijitokeza kumlaki katika hafla
hiyo iliyoambatana na hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa barabara za jiji
hilo.
Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Sherehe hizo za kihistoria zilifanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.