Sunday, June 10, 2012

Historia ya Freemason imegawanyika katika Nyakati kuu mbili tofauti, Yaani Kabla na baada ya Grand Lodge of England on 24th June 1717. Baada ya kutengenezwa kwa Grand Lodge huko Uingereza ambazo zilikuwa maalumu kwa Freemason, Freemason walianza kuenea Duniani kote kwa kutengeneza Lodges za mtindo huohuo katika nchi nyingine, na sasa ikafika hadi Tanzania, Kabla ya ukoloni. Marekani ilifika Mwaka 1775.
Ningependa kuwapa kazi ambazo wao huwa wanazifanya na Tabia za watu hawa ambao wapo kwenye Dini hiyo ya Kishetani.
1. Kusaidia watu wote wenye matatizo mbali mbali, Mfano majanga kama kwetu hapa Gongolamboto, Mbagalia Mabomu, Mafuliko, Kuunguliwa Moto nakadhalika 
2. Kusaidia vituo vya watoto yatima, Kuandaa sikukuu au mikutano ya vilema na wamama wajane.
3. Wanatoa misaada ya kupata kazi na awakati mwingine facilities na njia mbadala za kupata kazi.
Tabia zao 
1. Kwanza ni wapole na wanyenyekevu sana kwa watu na hawapendi makundi yenye kujitoa kimbelembele.
2. Wengi wao ni matajiri na watu maarufu, na wenye Heshima kubwa sana kwenye nchi husika, na wafanyabiashara.
3. Watu wanaopenda kujitolea kwa hali na mali katika jamii, ikitokea tatizo lolote la kitaifa.
4. Wanaopenda kuanzisha mifuko mbalimbali kwaajili ya jamii Fulani, Lengo ni kupata
5. Hawapendi ugomvi au machafuko ya aina yoyote, ni watu wa Amani.
6. Hutumia Ufreemason wao kupata wateja kwenye biashara zao, au kupata watu wengi kwenye majukwaa ya kisiasa kwa lengo la kushinda chaguzi mbalimbali, kwa wanamuziki Ili miziki yao ipendwe na kupata watu wengi kwenye shoo zao. Wachezaji kwa Fowadi waweze kushinda magoli wawapo kwenye mechi, na Waigizaji kazizao zipendwe na wao wawe na followers wengi.
Alama zao

Hizi ni alama wanazo tumia Mara kwa mara wakiwa kwenye shugulizao kwaajiri ya kuleta mvuto kutoka kwa watu wanao wasikiliza au wanaofuata Burudani kwa Wanamuziki Kama Michael Jackson.
Pia kwa Wachezaji wanaishara ya Vidole Viwili kuonesha chini (cha pili na cha tatu kutoka dole gumba) wakati wa kupiga faulo, na Penalt. au wakikaribia Goli wakati wa Kufunga ( Messi, Ronaldo ) ni mifano mzuri.
Freemason in Tanzania
Mpaka sasa Dini hii ya kishetani inamiaka zaidi ya 79, toka ilipoingia hapa nchini Tanzania na member wake wamezidi kuongezeka na kuwa wengine sana kati ya miaka ya 1985- 2000 kwa kutaka kupata Mvuto kisiasa, Kiutamaduni, Kimichezo, Kimuziki, Uigizaji na wengine katika biashara na mambo mengine. Lakini hili la Siasa ndo limeshika hatamu sana, Tafadhali Fuatilia Mikutano ya Bunge na uone Je Ishara hizo hapo juu hazitumiki? Jibu unalo wewe!!!
Hili ni Hall lililoko Mtaa wa sokoine Liko mkabala na Hotel ya Kilimanjaro Kempisky, na wageni wengi hufikia Hotel hiyo kwa urahisi wa Mikutano yao, kwani mambo yao huendeshwa kwa usiri mkubwa sana.
Hawa ni Mafreemason Wakishiriki kwa Pamoja katika shughuli ya upandaji wa Miti, Nadhani sasa utaanza kuelewa Kazi na shughuli wanazo jishughulisha na hawa watu,, NAOMBA TUWE MAKINI SANA NA HAWA WATU, AMBAO HUFANYA VITU VINGI VIZURI ILI KUKUVUTA NA WEWE UJIUNGE. FUMBA MACHO MKUMBUKE MUNGU WAKO KISHA WAKEMEE.

Huyu Jamaa ANAITWA Sir Andy Chande Mtanzania wa kwanza kukiri kuwa Yeye ni Mwanachama wa Freemasons
Hawa jamaa hapa Tanzania wamesaidia kituo cha watu wenye ukoma cha kindiwi wilayani Utete; Kituo cha watoto cha Mama Theresa; shule  ya Vipofu ya Pongwe, mkoani Tanga; Kituo cha yatima cha Arusha, Hospitali ya Mnazi mmoja kula Zanzibar; na Shule ya Viziwi ya Buguruni.
Hiyo ni Form Maalumu ya kujiunga na Hao watu na ukisha jiunga situation inakuwa kama hivyo hapo kwenye picha.
Wanahitaji nini
1. Kujua siri ambazo Mungu amezificha kuhusu Binadamu, na Umungu, na kuisambaza dini yao Duniani kote kwa kupaza sauti yao, ili sikumoja Shetani atawale Dunia
2. Wanataka Dunianzima waabudu Mfumo wa Sayari (Pentagram Cycle of Venus. )ambao wao ndo Mungu wao
3. Kudesign and kujenga miji Muhimu na mikubwa duniani kama Washington
4. Na kuiteka Dunia ili wawe na wafuasi Wengi kuliko wanao Muabudu Mungu
Ushauri Wangu.
Jamani Hawawatu wanatumia njia nyingi sana kuwarubuni watu Duniani Kote, Na mara nyingine hutuma Messages kwa Hardcoppy au Emails kudanganya kuwa Wao walifanikiwa kwa kusambaza ujumbe huo kwa watu wengi (huwa inakuwa kuanzia 7 hadi 14)
Hawamuabudu Mungu na wanamuabudu shetani, na Dini yao inanguvu sana imewateka Watu wazito wote unaowajua wewe Tanzania, Kenya Uganda na Duniani kote, Kama unavyoona Picha hapo juu
Freemason wanaabudu hiki hapo juu.
Nadhani sasa nimejibu maswali mengi ya watu.
(Mimi si member wa Freemason Tafadhali Naomba nieleweke Hivyo)

0 comments:

Post a Comment