Friday, June 29, 2012


NMB inaendelea kupanua mtandao wake wa matawi na kusogeza huduma zake karibu na wateja wake. Sasa NMB ipo katika eneo la Tegeta  katika jengo la Kibo Commercial Complex, Tegeta Kibaoni.
NMB ndiyo benki ya kwanza yenyematawi mengi na ATM nyingi zaidi nchini, imekuwa kinara katika ubunifu Tanzania kwa kuanzisha akaunti mpya nyingi na ndiyo benki ya kipekee iliyopo takribani kwa asilimia 95 ya wilaya zote nchini.

Wateja wa Benki ya NMB wakipata huduma katika Teller za benki hiyo iliyopo Tegeta Jengo la Kibo mCommercial Complex Tegeta Kibaoni
NMB ni Full Mzuka.

0 comments:

Post a Comment